Pages

Subscribe:

Tuesday, January 10, 2012

Akiwa Uingereza, Diamond alibwabwaja maneno ‘mbofumbofu’ ambayo siyo tu kwamba yalimfanya azomewe jukwaani, bali pia yaliwadhalilisha warembo wenye majina makubwa Bongo, Wema Sepetu na Jokate Mwegelo.

0 comments:

Post a Comment